Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Tur Ayahs #10 Translated in Swahili

وَالْبَحْرِ الْمَسْجُورِ
Na kwa bahari iliyo jazwa,
إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ لَوَاقِعٌ
Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
مَا لَهُ مِنْ دَافِعٍ
Hapana wa kuizuia.
يَوْمَ تَمُورُ السَّمَاءُ مَوْرًا
Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.

Choose other languages: