Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Tur Ayahs #12 Translated in Swahili

مَا لَهُ مِنْ دَافِعٍ
Hapana wa kuizuia.
يَوْمَ تَمُورُ السَّمَاءُ مَوْرًا
Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.

Choose other languages: