Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Tur Ayahs #15 Translated in Swahili

فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنْتُمْ بِهَا تُكَذِّبُونَ
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
أَفَسِحْرٌ هَٰذَا أَمْ أَنْتُمْ لَا تُبْصِرُونَ
Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?

Choose other languages: