Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Takwir Ayahs #9 Translated in Swahili

وَإِذَا الْوُحُوشُ حُشِرَتْ
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
وَإِذَا الْبِحَارُ سُجِّرَتْ
Na bahari zikawaka moto,
وَإِذَا النُّفُوسُ زُوِّجَتْ
Na nafsi zikaunganishwa,
وَإِذَا الْمَوْءُودَةُ سُئِلَتْ
Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
بِأَيِّ ذَنْبٍ قُتِلَتْ
Kwa kosa gani aliuliwa?

Choose other languages: