Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #98 Translated in Swahili

فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ
Na majeshi ya Ibilisi yote.
قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:
تَاللَّهِ إِنْ كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُبِينٍ
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,
إِذْ نُسَوِّيكُمْ بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Choose other languages: