Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #89 Translated in Swahili

وَاجْعَلْنِي مِنْ وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
يَوْمَ لَا يَنْفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
إِلَّا مَنْ أَتَى اللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.

Choose other languages: