Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #92 Translated in Swahili

يَوْمَ لَا يَنْفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
إِلَّا مَنْ أَتَى اللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنْتُمْ تَعْبُدُونَ
Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu

Choose other languages: