Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #88 Translated in Swahili

وَاجْعَلْ لِي لِسَانَ صِدْقٍ فِي الْآخِرِينَ
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
وَاجْعَلْنِي مِنْ وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
يَوْمَ لَا يَنْفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.

Choose other languages: