Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #46 Translated in Swahili

قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
قَالَ لَهُمْ مُوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنْتُمْ مُلْقُونَ
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
فَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ
Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.

Choose other languages: