Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #226 Translated in Swahili

تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?

Choose other languages: