Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #225 Translated in Swahili

هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَنْ تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?

Choose other languages: