Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #224 Translated in Swahili

إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَنْ تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.

Choose other languages: