Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #171 Translated in Swahili

قَالُوا لَئِنْ لَمْ تَنْتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُمْ مِنَ الْقَالِينَ
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

Choose other languages: