Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #174 Translated in Swahili

فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengine.
وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ مَطَرًا ۖ فَسَاءَ مَطَرُ الْمُنْذَرِينَ
Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

Choose other languages: