Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #141 Translated in Swahili

إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Wala sisi hatutaadhibiwa.
فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَاهُمْ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ ثَمُودُ الْمُرْسَلِينَ
Kina Thamud waliwakanusha Mitume.

Choose other languages: