Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #142 Translated in Swahili

وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Wala sisi hatutaadhibiwa.
فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَاهُمْ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ ثَمُودُ الْمُرْسَلِينَ
Kina Thamud waliwakanusha Mitume.
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ صَالِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?

Choose other languages: