Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #124 Translated in Swahili

ثُمَّ أَغْرَقْنَا بَعْدُ الْبَاقِينَ
Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ عَادٌ الْمُرْسَلِينَ
Kina A'd waliwakanusha Mitume.
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ هُودٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?

Choose other languages: