Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #125 Translated in Swahili

إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ عَادٌ الْمُرْسَلِينَ
Kina A'd waliwakanusha Mitume.
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ هُودٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Choose other languages: