Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #146 Translated in Swahili

فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
وَأَنْبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِنْ يَقْطِينٍ
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.

Choose other languages: