Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #145 Translated in Swahili

فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

Choose other languages: