Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #148 Translated in Swahili

لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
وَأَنْبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِنْ يَقْطِينٍ
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.
وَأَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ مِائَةِ أَلْفٍ أَوْ يَزِيدُونَ
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.
فَآمَنُوا فَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

Choose other languages: