Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #121 Translated in Swahili

وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
سَلَامٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Iwe salama kwa Musa na Haruni!
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.

Choose other languages: