Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #120 Translated in Swahili

وَنَصَرْنَاهُمْ فَكَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
سَلَامٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Iwe salama kwa Musa na Haruni!

Choose other languages: