Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #113 Translated in Swahili

سَلَامٌ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ
Iwe salama kwa Ibrahim!
كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِنَ الصَّالِحِينَ
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
وَبَارَكْنَا عَلَيْهِ وَعَلَىٰ إِسْحَاقَ ۚ وَمِنْ ذُرِّيَّتِهِمَا مُحْسِنٌ وَظَالِمٌ لِنَفْسِهِ مُبِينٌ
Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.

Choose other languages: