Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #115 Translated in Swahili

إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِنَ الصَّالِحِينَ
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
وَبَارَكْنَا عَلَيْهِ وَعَلَىٰ إِسْحَاقَ ۚ وَمِنْ ذُرِّيَّتِهِمَا مُحْسِنٌ وَظَالِمٌ لِنَفْسِهِ مُبِينٌ
Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.
وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
وَنَجَّيْنَاهُمَا وَقَوْمَهُمَا مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ
Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.

Choose other languages: