Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naziat Ayahs #36 Translated in Swahili

وَالْجِبَالَ أَرْسَاهَا
Na milima akaisimamisha,
مَتَاعًا لَكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
فَإِذَا جَاءَتِ الطَّامَّةُ الْكُبْرَىٰ
Basi itakapo fika hiyo balaa kubwa,
يَوْمَ يَتَذَكَّرُ الْإِنْسَانُ مَا سَعَىٰ
Siku ambayo mtu atakumbuka aliyo yafanya,
وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِمَنْ يَرَىٰ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,

Choose other languages: