Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naziat Ayahs #38 Translated in Swahili

فَإِذَا جَاءَتِ الطَّامَّةُ الْكُبْرَىٰ
Basi itakapo fika hiyo balaa kubwa,
يَوْمَ يَتَذَكَّرُ الْإِنْسَانُ مَا سَعَىٰ
Siku ambayo mtu atakumbuka aliyo yafanya,
وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِمَنْ يَرَىٰ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,
فَأَمَّا مَنْ طَغَىٰ
Basi ama yule aliye zidi ujeuri,
وَآثَرَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Na akakhiari maisha ya dunia,

Choose other languages: