Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Najm Ayahs #56 Translated in Swahili

وَقَوْمَ نُوحٍ مِنْ قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;
وَالْمُؤْتَفِكَةَ أَهْوَىٰ
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
فَغَشَّاهَا مَا غَشَّىٰ
Vikaifunika vilivyo funika.
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكَ تَتَمَارَىٰ
Basi neema gani ya Mola wako Mlezi unayo ifanyia shaka?
هَٰذَا نَذِيرٌ مِنَ النُّذُرِ الْأُولَىٰ
Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.

Choose other languages: