Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Najm Ayahs #24 Translated in Swahili

وَمَنَاةَ الثَّالِثَةَ الْأُخْرَىٰ
Na Manaat, mwingine wa tatu?
أَلَكُمُ الذَّكَرُ وَلَهُ الْأُنْثَىٰ
Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
تِلْكَ إِذًا قِسْمَةٌ ضِيزَىٰ
Huo ni mgawanyo wa dhulma!
إِنْ هِيَ إِلَّا أَسْمَاءٌ سَمَّيْتُمُوهَا أَنْتُمْ وَآبَاؤُكُمْ مَا أَنْزَلَ اللَّهُ بِهَا مِنْ سُلْطَانٍ ۚ إِنْ يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ وَمَا تَهْوَى الْأَنْفُسُ ۖ وَلَقَدْ جَاءَهُمْ مِنْ رَبِّهِمُ الْهُدَىٰ
Hayo hayakuwa ila ni majina mliyo wapa nyinyi na baba zenu. Mwenyezi Mungu hakuleta uthibitisho wowote juu ya hayo. Hawafuati ila dhana tu na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa Mola wao Mlezi.
أَمْ لِلْإِنْسَانِ مَا تَمَنَّىٰ
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?

Choose other languages: