Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #10 Translated in Swahili

أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ مِهَادًا
Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
وَالْجِبَالَ أَوْتَادًا
Na milima kama vigingi?
وَخَلَقْنَاكُمْ أَزْوَاجًا
Na tukakuumbeni kwa jozi?
وَجَعَلْنَا نَوْمَكُمْ سُبَاتًا
Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ لِبَاسًا
Na tukaufanya usiku ni nguo?

Choose other languages: