Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #46 Translated in Swahili

فِي سَمُومٍ وَحَمِيمٍ
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
وَظِلٍّ مِنْ يَحْمُومٍ
Na kivuli cha moshi mweusi,
لَا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنْثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,

Choose other languages: