Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #48 Translated in Swahili

لَا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنْثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?

Choose other languages: