Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #50 Translated in Swahili

وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنْثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?
قُلْ إِنَّ الْأَوَّلِينَ وَالْآخِرِينَ
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَاتِ يَوْمٍ مَعْلُومٍ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.

Choose other languages: