Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #45 Translated in Swahili

وَأَصْحَابُ الشِّمَالِ مَا أَصْحَابُ الشِّمَالِ
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
فِي سَمُومٍ وَحَمِيمٍ
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
وَظِلٍّ مِنْ يَحْمُومٍ
Na kivuli cha moshi mweusi,
لَا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.

Choose other languages: