Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #39 Translated in Swahili

إِنَّا أَنْشَأْنَاهُنَّ إِنْشَاءً
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
فَجَعَلْنَاهُنَّ أَبْكَارًا
Na tutawafanya vijana,
عُرُبًا أَتْرَابًا
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
لِأَصْحَابِ الْيَمِينِ
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
ثُلَّةٌ مِنَ الْأَوَّلِينَ
Fungu kubwa katika wa mwanzo,

Choose other languages: