Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qiyama Ayahs #28 Translated in Swahili

وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
تَظُنُّ أَنْ يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;

Choose other languages: