Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #49 Translated in Swahili

سَيُهْزَمُ الْجَمْعُ وَيُوَلُّونَ الدُّبُرَ
Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
بَلِ السَّاعَةُ مَوْعِدُهُمْ وَالسَّاعَةُ أَدْهَىٰ وَأَمَرُّ
Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi.
إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي ضَلَالٍ وَسُعُرٍ
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.
يَوْمَ يُسْحَبُونَ فِي النَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمْ ذُوقُوا مَسَّ سَقَرَ
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.

Choose other languages: