Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #38 Translated in Swahili

إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ عِنْدَ رَبِّهِمْ جَنَّاتِ النَّعِيمِ
Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
أَفَنَجْعَلُ الْمُسْلِمِينَ كَالْمُجْرِمِينَ
Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu?
مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi?
أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?
إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?

Choose other languages: