Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mursalat Ayahs #21 Translated in Swahili

ثُمَّ نُتْبِعُهُمُ الْآخِرِينَ
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نَخْلُقْكُمْ مِنْ مَاءٍ مَهِينٍ
Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
فَجَعَلْنَاهُ فِي قَرَارٍ مَكِينٍ
Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti?

Choose other languages: