Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mursalat Ayahs #20 Translated in Swahili

أَلَمْ نُهْلِكِ الْأَوَّلِينَ
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
ثُمَّ نُتْبِعُهُمُ الْآخِرِينَ
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نَخْلُقْكُمْ مِنْ مَاءٍ مَهِينٍ
Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?

Choose other languages: