Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #43 Translated in Swahili

إِلَّا أَصْحَابَ الْيَمِينِ
Isipo kuwa watu wa kuliani.
فِي جَنَّاتٍ يَتَسَاءَلُونَ
Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
عَنِ الْمُجْرِمِينَ
Khabari za wakosefu:
مَا سَلَكَكُمْ فِي سَقَرَ
Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.

Choose other languages: