Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #33 Translated in Swahili

وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi -
فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
وَالَّذِينَ هُمْ بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,

Choose other languages: