Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #21 Translated in Swahili

تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
وَجَمَعَ فَأَوْعَىٰ
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
إِنَّ الْإِنْسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا
Hakika mtu ameumbwa na papara.
إِذَا مَسَّهُ الشَّرُّ جَزُوعًا
Inapo mgusa shari hupapatika.
وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا
Na inapo mgusa kheri huizuilia.

Choose other languages: