Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Insan Ayahs #20 Translated in Swahili

قَوَارِيرَ مِنْ فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنْجَبِيلًا
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُخَلَّدُونَ إِذَا رَأَيْتَهُمْ حَسِبْتَهُمْ لُؤْلُؤًا مَنْثُورًا
Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
وَإِذَا رَأَيْتَ ثَمَّ رَأَيْتَ نَعِيمًا وَمُلْكًا كَبِيرًا
Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.

Choose other languages: