Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #91 Translated in Swahili

وَلَقَدْ آتَيْنَاكَ سَبْعًا مِنَ الْمَثَانِي وَالْقُرْآنَ الْعَظِيمَ
Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.
لَا تَمُدَّنَّ عَيْنَيْكَ إِلَىٰ مَا مَتَّعْنَا بِهِ أَزْوَاجًا مِنْهُمْ وَلَا تَحْزَنْ عَلَيْهِمْ وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِلْمُؤْمِنِينَ
Usivitumbulie macho yako vitu tulivyo waneemesha makundi fulani kati yao, wala usiwahuzunikie. Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.
وَقُلْ إِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْمُبِينُ
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
كَمَا أَنْزَلْنَا عَلَى الْمُقْتَسِمِينَ
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
الَّذِينَ جَعَلُوا الْقُرْآنَ عِضِينَ
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.

Choose other languages: