Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ghashiya Ayahs #24 Translated in Swahili

وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنْتَ مُذَكِّرٌ
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَسْتَ عَلَيْهِمْ بِمُصَيْطِرٍ
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلَّا مَنْ تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!

Choose other languages: