Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ghashiya Ayahs #23 Translated in Swahili

وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنْتَ مُذَكِّرٌ
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَسْتَ عَلَيْهِمْ بِمُصَيْطِرٍ
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلَّا مَنْ تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,

Choose other languages: