Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Fajr Ayahs #6 Translated in Swahili

وَلَيَالٍ عَشْرٍ
Na kwa masiku kumi,
وَالشَّفْعِ وَالْوَتْرِ
Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
وَاللَّيْلِ إِذَا يَسْرِ
Na kwa usiku unapo pita,
هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِذِي حِجْرٍ
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

Choose other languages: