Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Burooj Ayahs #19 Translated in Swahili

ذُو الْعَرْشِ الْمَجِيدُ
Mwenye Kiti cha Enzi, Mtukufu,
فَعَّالٌ لِمَا يُرِيدُ
Atendaye ayatakayo.
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْجُنُودِ
Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
فِرْعَوْنَ وَثَمُودَ
Ya Firauni na Thamudi?
بَلِ الَّذِينَ كَفَرُوا فِي تَكْذِيبٍ
Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.

Choose other languages: