Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Adiyat Ayahs #6 Translated in Swahili

فَالْمُورِيَاتِ قَدْحًا
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
فَالْمُغِيرَاتِ صُبْحًا
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
فَأَثَرْنَ بِهِ نَقْعًا
Huku wakitimua vumbi,
فَوَسَطْنَ بِهِ جَمْعًا
Na wakijitoma kati ya kundi,
إِنَّ الْإِنْسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!

Choose other languages: